Friday, April 9, 2010

blogs that i follow daily for inspiration and to get the day's bearing in life

no. 1 - issamichuzi.blogspot.com
no.2 - ladyjaydee.blogspot.com
no.3 - diva255.com

i also am on facebook and twitter so if you wanna holla come join in and let's get talking about a whole wide range of issues that touch on everyday lives

the funniest movie this year



school teacher brad cooper a.k.a phil ( funny and witty)




"oh my god!!!!! am i missing a tooth"






phil lying to doug's fiance (tracy) while they were held down at the precint




the morning after - some guys just can't handle vegas
funny man alan - trcy's brother
hey guyz just check-out the funniest movie i have watched this year.
it's titled "the hangover " and can you believe it i have now watched it 20 times alone this past month. starring brad cooper as phil, ed phelms as dr stu, zack glifaniakis as alan and justin bartha as doug, this is one hilarious movie you r just gonna love









Thursday, September 10, 2009

mtoto wa mwaka mmoja na mimba





















Madaktari nchini China walipigwa na butwaa baada ya kugundua kuwa Kang Mengru, mtoto wa kike mwenye umri wa mwaka mmoja ambaye alipelekwa hospitali baada ya tumbo lake kuzidi kuwa kubwa, alikuwa na mimba ya kichanga kingine.Baada ya mtoto huyo kufanyiwa ultrasound, madaktari waligundua kuwa mtoto huyo wa kike alikuwa amebeba kitoto kichanga kwenye tumbo lake ambacho kilikuwa kikiendelea kukua.

























































mtoto

Wednesday, September 9, 2009

jamaa mmoja asutwa huko mwananyamala kwa kuwa mmbeya

Huyu kaka ambae jina lake nalihifadhi,ni mkazi wa mwananyamala kwa mama zakaria inasemekana amekuwa mchonganishi kwa kutoa maneno huku na kuyapeleka kule mpaka kufikia watu kupigana ile mbaya.Sasa leo mchana wahusika wasichana kwa waavulana ambao wamedai kuchoshwa na tabia yake hiyo wamemkamata wamempiga na kumuamuru kuvaa kanga,wakamwamuru apike,afue,afagie,aoshe vyombo n.k
amepakwa lipstik na eye shedow akaambiwa aweke pozi

ukimtazama kwa karibu utaona uvimbe,hapo ni baada ya kupigwa maskini yaani mpaka nilimuonea huruma........



kuna mdada hapa alikuwa anamwambia akae vizuri anyooshee vidole ampake rangi.........


hapo kapewa kanga kaambiwa ajifunge...ili akafanye kazi za kike












































top 5 best smile awarsds

Number ONE

NUMBER TWO

NUMBER THREE



NUMBER FOUR




NUMBER FIVE
h HA HA HA HA HA HA. NUMBER ONE LOOKS LIKE SOMEONE I KNOW. R U THERE NYAMBANE!!!!!!!!!!!!


Joke of the day

Joe had asked Bob to help him out with the deck after work, so Bob just went straight over to Joe's place. When they got to the door, Joe went straight to his wife, gave her a hug and told her how beautiful she was and how much he had missed her at work.
When it was time for supper, he complimented his wife on her cooking, kissed her and told her how much he loved her.Once they were working on the deck, Bob told Joe that he was surprised that he fussed so much over his wife.
Joe said that he'd started this about six months ago, it had revived their marriage, and things couldn't be better. Bob thought he'd give it a go. When he got home, he gave his wife a massive hug, kissed her and told her that he loved her. His wife burst into tears.
Bob was confused and asked why she was crying. She said, "This is the worst day of my life. First, little Billy fell off his bike and twisted his ankle. Then, the washing machine broke and flooded the basement. And now, you come home drunk!"